CHEKI PICHA KIBAO NA STORI NZIMA YA HUYU JAMAA..........H.......UYU NDIYE ALIYEMPA ZARI JEURI YA FEDHA
0

Kibosile Ivan Ssemwanga akiwa na ‘Zari’.
Umaarufu wa msanii wa muziki, mjasiriamali na mkali wa fasheni kutoka Uganda anayeishi Afrika Kusini, Zarinah Hassan ‘Zari’ unazidi kupaa kila kukicha, habari ya mjini kwa sasa ikiwa ni malavidavi ya nguvu anayopeana na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.
Mfanyabiashara mkubwa wa Kiganda mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini,...