CHEKI PICHA ZAKE NI SHIDAAAAAAAA......SOMA HIIIII MWANAMITINDO FLAVIANA MATATA ACHUMBIWA NA MBONGO..ASEMA HAYA

0


Mwanamitindo Mtanzania Flaviana matata ambaye Novemba 2014 alichumbiwa, amesema kuwa hata atakapoolewa, ndoa haitabadilisha au kuathiri chochote katika kazi zake.
Flaviana Matata
“Kila kitu kitaendelea kama kilivyo sasa mpaka pale nitakapoona sasa imetosha nifanye mambo mengine, lakini haitabadilisha chochote, itabadilisha status tu ndo inakuwa mrs flani basi.” Alisema kupitia XXL ya Clouds Fm.
 
Mwanamitindo huyo wa kimataifa ambaye hufanyia shughuli zake Marekani, hajataka kumuweka wazi mchumba wake lakini amesema ni Mtanzania anayeishi Marekani.
 
Baada ya kuulizwa kwanini amechagua kuolewa na Mtanzania mwenzake, alijibu hiki:
 
“Utamaduni ni muhimu sana, Kiukweli simzui mtu kuolewa na utamaduni wowote lakini mimi najua nachokihitaji katika maisha yangu, najua hatufanani najua mwingine anataka mzungu mwingine muhindi, lakini mimi cha kwanza kabisa utamaduni ni muhimu sana.”

UUUUUUUU........CH............IIIIIIIII......MWANZO MWISHO CHEKI HAPA..........PICHA ZA MTOTO WA SENETA WA NAIROBI MIKE SONKO ANAYESIFIKA KWA KUPIGA PICHA ZA UTAMU HIZI HAPA

0




LAAAAAAAAAAAAAAAAAAANAAAAAAAAAAAAANAAA..............HIZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII,,.......PICHA ZA.....U.............CH.......I......HIVI NDIVYO DUNIA INAVYOELEKEA MWISHO, WAJIPIGA PICHA WAKIFANYA UZINZI HADHARANI

0




The way  Some University students party... its like tomorrow will never come... I came across their Facebook group and i was like damn! is this ....!!?? see fi yo self...













UUUUUUUUUUWIIIIIIIIIIIIIIII.,.........................INGIA HAPA UONE HIZI PICHA ZA LAAAAAAAAANAAA........STAGENI........RECHO AMRUHUSU SHABIKI KUMFANYA LIVE KWENYE STAGE SASA HIVI NDIVYO JAMII UNAVYOIELIMISHA DADA RECHO?

0


 
 

CHEKI HAPA PICHA ZAKE HATARIIIIIIIIIIIII.......................LULU: MMOJA KATI YA HAWA AKINICHUKIA NDIO NITAPATA PRESSURE

0


MTOTO mzuri Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema katika maisha yake ya sanaa hataweza kufanya kazi nyingine mbali na kuigiza kama ambavyo wasanii wengine wanafanya.


Akipiga stori na mwandishi wetu, Lulu alisema, amegundua kuwa kila kitu kinatakiwa kifanywe kama kazi na yeye atakuwa akifanya kazi yake ya kuigiza tu na si vinginevyo.

“Napenda kuwa msanii na ninaamini mimi ni msanii, niweke wazi kwamba mimi katika maisha yangu sitarajii kuja kuwa dairekta au script writer wala kuja kufanya kazi nyingine yoyote zaidi ya kuigiza.

“Asilimia kubwa ya wasanii hapa kwetu hatuwazi mbali, chochote tunachofanya tunaona ni sawa tu hatupo kibiashara kwa sababu bado ni masikini ndiyo maana wengine wanaigiza ili waonekane, tubadilike,” alisema Lulu.


Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael “Lulu” akiwa na familia yake, Mama na mdogo wake wanapata  ‘Lunch’  Aliweka picha hii mtandaoni na kuandika kuwa, kama ikitokea mmoja kati ya  wanafamilia hao, akimchukia ndio anaweza akapata ‘pressure’ lakini wengine wote hata wamchukie hawezi kujali na atatafuta njia ya kushughurika nao.

“Lunch thngz wth Family, Ikitokea mmoja kati ya hawa akanichukia ndo ntaweza kupata pressure....but the rest, I'll search 4 a Fck to give” Lulu aliandika.

Nadhani ujumbe umefika!!!

LAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANAAAAAAAAAAAAANA............HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII...MTAA WA NGO WAVAMIWA USIKU WA MANANE ...DAMU YAMWAGIKA...HABARI KAMILI NA PICHA ZA TUKIO ZIMA HAPA

0

NI hakika ‘mtaa wa ngono’ umefumuliwa! Sakata hilo lilijiri saa tisa usiku, Ijumaa iliyopita, Barabara ya Shekilango, kuanzia Bamaga hadi Sinza Mori jijini Dar eneo ambalo makahaba wameligeuza chumbani, Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ilikuwepo ikifanya kazi chini ya uratibu wa IjumaaWikienda.Kwa mujibu wa takwimu za kiserikali, eneo hilo
(kuanzia Bamaga hadi Sinza Mori) limekubuhu kwa wasichana kujiuza nyakati za usiku huku makao yao makuu yakiwa eneo la Afrika Sana hasa pembezoni mwa Corner Bar.
Mmoja wa viongozi wa serikali ya mtaa ya eneo hilo ambaye aliomba jina lake lisiandikwe gazetini, alisema:

“Tumejitahidi sana kushirikiana na polisi ili kutokomeza ukahaba eneo hilo lakini wapi! Hawa mabinti ni wabishi, mbaya zaidi wamelifanya eneo hili kuwa la ngono.
“Watoto wetu wanapita usiku pale wanawaona wanavyofanya, wanatuharibia kizazi kijacho, kama wao wamejishindwa wasiwaambukize wengine.”

TIMU ILIYOENDESHA OPERESHENI
Siku ya tukio, saa tisa usiku, askari wa ulinzi shirikishi walijipanga kwa ajili ya kuufumua mtaa huo huku wakiwa na tahadhari kufuatia habari za kiintelijensia kudai kuwa, makahaba hao walipanga kuua mtu punde watakapovamiwa.
Askari hao wakiwa kwenye doria ya kila usiku, waliwavamia makahaba hao eneo lenye majani madogo katikati ya Afrika Sana na Mapambano upande wa yadi ya Mwanamboka wakiwa na wateja wao wakifanya ngono hadharani.

NUSURA DAMU IMWAGIKE
Katika hali iliyoonesha makahaba wamejiimarisha kwa ulinzi siku hizi, wakati wa zoezi hilo, machangu hao sanjari na vibaka wanaowaunga mkono wakisemekana ni ‘walinzi’ wao, waliokota mawe na kuwarushia askari hao hali iliyozua tafrani zaidi.
Ndipo piga nikupige ilipozuka ambapo askari walionesha umahiri wao wa kupambana na wahalifu kwa kuwadhibiti kwa vichapo vya hapa na pale na kufanikiwa kuwaweka wengi chini ya ulinzi.
Kuona hivyo, baadhi ya makahaba na wateja wao walifanikiwa kuwachoropoka askari bila nguo na kutokomea gizani hivyo kulifanya eneo hilo kuwa jeupe.

WENGINE WAKIMBIA NA KUACHA NGUO ZA NDANI
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya makahaba waliokimbia walijikuta wakiacha kwenye majani nguo zao za ndani na kuzua maswali kwamba ni kwa nini hawakuwa wamezivaa! 
“Jamani hizi si nguo zao za ndani? Ina maana wakiwa kazini hawavai siyo? Wanakuwa tayaritayari kwa kazi? Jamani!” alisema kwa mshangao mkubwa mmoja wa askari hao. 

MAKAHABA WALIONASWA WALONGA
Licha ya kuwa chini ya ulinzi mkali, baadhi ya makahaba walionaswa walikuwa wakiwalalamikia askari hao kwamba wanawafuatafuata wakati kila mtu siku hizi anaangalia atakulaje!
“Mnatuonea bure, nyie mnakula kivyenu na sisi mngetuacha tule kivyetu, hao watoto wenu mnaosema tunawaharibu usiku huu wao wanatokea wapi na wanakwenda wapi?” alisikika akisema kahaba mmoja aliyekuwa mtata kuwekwa chini ya ulinzi.
Mwingine akadakia: Kama mnataka tuwape uroda si mseme, mnatukamata kila siku kwani tunawatibulia nini majumbani mwenu? Lini tumekuja kuwaghasi wakati mmelala na wake zenu?”
Uchunguzi wa kawaida ulibaini kuwa muda rasmi wa makahaba hao kuwasili eneo la Corner Bar ili kuanza ‘kazi’ ni saa mbili usiku japokuwa wapo wanaoripoti mapema na kufanya biashara hiyo kwa wizi kulingana na wateja wenye ‘kiu’ nyakati hizo.

AHADI YA MAKAHABA
Licha ya kuwa chini ya ulinzi, makahaba hao waliahidi endapo watapelekwa polisi na kutoka watarejea eneo hilo kujiuza kwani ndiyo ajira inayowafanya waendelee kuishi katika Jiji la Dar es Salaam, kusomesha watoto vijijini kwao na kuwasaidia wazazi wao mahitaji mbalimbali.
“Hata kama mtatupeleka polisi, tutarudi tu hapa, sisi tunasomesha watoto, tunasaidia wazazi wetu vijijini, pia tunaishi Dar kwa sababu ya kipato hiki cha kuuza miili yetu, acheni hizo,” mmoja wa makahaba hao alisema bila kumung’unya maneno.

MWENYEJI WA MTAA ANENA
Akizungumza na paparazi wetu eneo la tukio, mkazi mmoja wa eneo hilo ambaye pia ni askari wa ulinzi shirikishi alisema:
“Kufuatia vitendo hivi kushamiri hapa mtaani hadi kufikia hatua ya makahaba na wateja wao kufanya ngono hadharani kama wanyama, tuliamua kukimbilia polisi kutoa taarifa, kwa hiyo tuna baraka za serikali za kuwatokomeza hawa machangu.”

NDIYO DAWA?
Mapaparazi wa Global Publishers wana uzoefu na makahaba wa mtaa huo unaoanzia Bamaga hadi Sinza Mori, ni wagumu kubadilika.
Mara kadhaa, OFM imekuwa ikiwafumua makahaba hao lakini siku inayofuata wanarudi tena na kupiga kambi kama hakuna tukio lililotokea jana yake!
OFM waliondoka eneo la tukio na kuwaacha askari hao na ‘watuhumiwa’ wao wakisubiri namna ya kufika kwenye Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’, Dar kwa hatua zaidi za kisheria

CHEKI PICHA ZAO HAPA ZOTE...................SOMA HAPA.................NYUMA YAKE DIAMOND PLATINUMZ UNAJUA KUNA NANI? SOMA HAPA

0


  
HAKUNA ladha inayopendwa na mashabiki wa muziki Bongo kwa sasa kama Bongo Fleva. Zipo nyimbo nyingi ambazo zinapita masikioni mwa mashabiki na kufurahia lakini kizuri zaidi ni jinsi video za Bongo Fleva ambazo zimekuwa zikija kimataifa kila siku.

Wasafi Classic wakiwa katika pozi la pamoja ndani ya studio za Global TV Online.
Unapotaja kati ya video za muziki huo ambazo zipo juu kwa sasa ni wazi utataja moja kwa moja video za staa wa nyimbo hizo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kama vile Mdogomdogo, Nitampata Wapi, My Number One ambazo zote amezifanyia nchini Afrika Kusini.
Achana na video, twende kwenye shoo zake, Diamond ametokea kuteka majukwaa mbalimbali kwa kujaza nyomi ya watu. Miongoni mwa shoo zilizofanya poa ni pamoja na shoo za funga na fungua mwaka ambazo ni Usiku wa Wafalme iliyofanyika katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar pamoja na ile iliyofanyika Uwanja wa Amahoro, Kigali, Rwanda.

Wasafi Classic wakiwa ndani ya ofisi za Global Publishers.
Je, Nyuma yake unajua kuna nani?
WCB kwa kirefu unaweza kuwaita Wasafi Classic Baby.
Kruu nzima ya WCB bado inaendelea kumfanya Diamond awe bora zaidi kwenye kila video hadi shoo. Katikati ya wiki hii, WCB ikiongozwa na meneja wao, Babu Tale walitinga katika mjengo wa Global Publishers uliopo Bamaga, Mwenge ambapo walifunguka mengi mbele ya waandishi wa mjengoni hapo.

Kwanza kabisa kuna Rais wa Wasafi, Diamond, chini yake kuna mameneja watatu wanaomuongoza ambao ni Babu Tale, Said Fella na Salam.Diamond hawezi kuamua mwenyewe avae nini aende wapi au afanye nini, kuna Q-Boy Msafi na Morgan ambao wapo kwa ajili hiyo. Baada ya hapo kuna msemaji wa kati ambaye pia ni DJ kwenye shoo zote tunazokwenda, Romy Jones.
WCB pia inaundwa na madansa nane ambapo wanaume wapo sita na wasichana wawili. Baada ya madansa kuna baunsa anaitwa Mwarabu Platnumz na hayupo kwa ajili ya kumuangalia Diamond tu bali yupo kuwaangalia WCB kwa ujumla. Ukiachana na baunsa kuna wapiga picha watatu lakini ambao tunasafiri nao ni wawili tu.WCB jumla inaundwa na watu 16.

EBU ANGALIA HIZI CHUPI MPYA NI SHIDAAAAAAAAAAAAAAAAAAA..........KWA WADADA,,...FASHENI: HIZI CHUPI (G-STRING) MPYA ZA KIKE NI SHIDAA......[ KWA WANAWAKE TU..WANAUME HAIKUHUSU BABU!! ]

0

Kama kawaida tasnia ya FASHENI inabadirika kila siku...Lakini huu ujio wa hizi  CHUPI zinazoitwaShibue Strapless Panty ni Nouma......

Hizi wameziita ni chupi za miujiza, kwani zimetengenegwa kwa MATIRIO ambayo huweza kukabiliana na  mabadiliko ya  MAKAO MAKUU katika hali yoyote ile.....hehehee....

hivyo kumfanya mwanamke awe COMFOTABO  (Kama unavyojua tena makao makuu kuna mengi pale)

Tofauti na chupi zingine aina ya G-String chupi hizi huvaliwa kuanzia juu ya Uke na mpaka kwenye mwisho wa uti wamgongo...Jionee picha  hapa.. Then niambie kwa kucomment hapa chini unaona vipi.. 


Uvaaji wake sasa
nishiidaah....
 

Popular Posts

ONLINE VIEWS

Jicholamwewe.com.