NISHIDAAAAAA..........................CHEKI PICHA KIBAO HAPA..........................DIAMOND NA ZARI WAKIWA KWENYE MAPENZI MAZITO

0
Acha muvi iendelee! Ile projekti ya mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’ sasa imenoga.Mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’wakila ujana.Habari zinaeleza kwamba katika pati ya mwaka ya Zari wiki iliyopita iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Guvnor uliopo Kampala, Uganda mwanadada huyo hakuishia kwenye...

CHEKI HIZI PICHA HAPA.........NISHIDAAAAAAA,,,,............ZARI ALALA KWA MAMA DIAMOND

0
IMEFICHUKA! Mrembo wa Uganda ambaye kwa sasa ndiye ‘usingizi’ wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ hivi karibuni alitua Bongo na kulala nyumbani kwa mama wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’, Sinza-Mori jijini Dar. Mrembo wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’. Chanzo makini kilicho karibu na familia ya Diamond kimepenyeza ‘ubuyu’ kuwa, Zari alipata fursa ya kupiga ‘mbonji’...

CHEKI PICHA KIBAO HAPA NA MAPOZI.........MASTAA WAREMBO WA BONGO: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU

0
Gladness Mallya na Mayasa Mariwata/Risasi MchanganyikoWAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa. Staa wa filamu wa filamuBongo, Anti Lulu akipozi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala...

NISHIDAAAAAAAAAAAAAAAA......................CHEKI HIZI PICHA ZA MREMO HUYU>>>KISHA NIAMBIE KAMA UZURI WA MWANAMKE TABIA AU SHAPE YAKEEE

0
...

PICHA ZOTE ZIKO HAPA,,,,,,,......SOMA HAPA ALICHO SEMA DIAMOND...........DIAMOND ATHIBITISHA KUWA ZARI ANA UJAUZITO WAKE!

0
Uhusiano wa Diamond Platnumz na Zarinah Tlale a.k.a Zari The Boss Lady sasa unaelekea kwenye level nyingine. Diamond ameweka wazi kuwa anatarajia kuwa baba. Kupitia Instagram Diamond alipost picha ya ‘ultra sound’ inayoonesha kiumbe kilichoko tumboni mwa mama na kuandika: “I can not wait to have you on my hand”. Hata hivyo aliifuta post hiyo baada ya dakika mbili.Kwa picha...

.....INGIA HAPA........PICHA ZOTE ZIKO HAPA..........AUNTY EZEKIEL NA MOSE IYOBO WADHIHIRISHA PENZI LAO

0
Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amedhihirisha penzi lake na dansa wa msanii Diamond Platinumz,Mose Iyobo baada ya picha yao wakiwa wamekaa kimahaba iliyosambaa mtandaoni. Mara kadhaa msanii huyo wa Bongo Movie amekuwa akikana kuwa hana uhusiano na dansa huyo na kutoweka wazi mhusika wa ujauzito wake hivyo picha hiyo imeonyesha kuwa Mose Iyobo kuwa ni mhusika wa ujauzito huo....

KOCHA WA MAN CITY AKIRI KUWA SUNCHEZ ATAKUWA MCHEZAJI BORA EPL....Manuel Pellegrini backs Arsenal forward to be ‘The best player in the Premier League’

0
Manuel Pellegrini has caused a stir by revealing who he thinks is the best player in the Premier League right now… and it’s not Sergio Aguero. The Manchester City boss has previously labelled his star striker as one of the top five players in the world, but sensationally he’s claimed Arsenal man Alexis Sanchez is the Premier League’s best. Aguero has recently returned from over a month...

HABARI NJEMA KWA MANCHESTER UNITER YA KARIBIA KUMALIZANA NA MESSI......Manchester City links with Lionel Messi are normal – Manuel Pellegrini

0
Manchester City manager Manuel Pellegrini has brushed off reports linking his side with a move for Barcelona superstar Lionel Messi as “normal”. The Argentine forward’s future at Camp Nou is in question after a falling-out with coach Luis Enrique and City’s financial muscle makes them one of the few clubs who could potentially afford to sign him were he to leave. Pellegrini, though, simply...

CHEKI PICHA ZAO HAPA NA SOMA HII......Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari

0
  Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba...
 

Popular Posts

ONLINE VIEWS

Jicholamwewe.com.