NISHIDAAAAAA..........................CHEKI PICHA KIBAO HAPA..........................DIAMOND NA ZARI WAKIWA KWENYE MAPENZI MAZITO

0

Acha muvi iendelee! Ile projekti ya mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’ sasa imenoga.


Mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’wakila ujana.

Habari zinaeleza kwamba katika pati ya mwaka ya Zari wiki iliyopita iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Guvnor uliopo Kampala, Uganda mwanadada huyo hakuishia kwenye pati tu bali alitumia nafasi hiyo kumtambulisha Diamond aliyekuwa mgeni rasmi kuwa kwa sasa wao ni wapenzi.


‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’ wakifanya yao.

Mbali na mahaba niue waliyooneshana mbele za watu, wawili hao walitumia chansi hiyo ‘kudendeka’ mbele ya kamera hivyo kudhihirisha kwamba mambo yao yapo juu ya mstari. 

CHEKI HIZI PICHA HAPA.........NISHIDAAAAAAA,,,,............ZARI ALALA KWA MAMA DIAMOND

0

IMEFICHUKA! Mrembo wa Uganda ambaye kwa sasa ndiye ‘usingizi’ wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ hivi karibuni alitua Bongo na kulala nyumbani kwa mama wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’, Sinza-Mori jijini Dar.
Mrembo wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’.
Chanzo makini kilicho karibu na familia ya Diamond kimepenyeza ‘ubuyu’ kuwa, Zari alipata fursa ya kupiga ‘mbonji’ nyumbani hapo alipomtembelea Diamond.
“Alikuja akambonji kwa mama Diamond kama siku mbili hivi halafu wakaondoka wote wakati Diamond alipokwenda Nigeria kwenye shoo ya Mwanasoka Bora wa Afrika 2014.
“Awali, Diamond alitaka akamlaze hotelini lakini mtoto wa kike akakataa, akasema anataka kuangusha usingizi nyumbani kwa mkwewe, Diamond akasema ruksa mama,” kilisema chanzo hicho.
Kikizidi kumwaga data, chanzo kilisema, mbali na kulala, Zari alishiriki kazi za ndani ikiwemo kupika na kupakua kama ilivyokuwa kwa zilipendwa wa Diamond, Penniel Mungilwa ‘Penny’ na Wema Sepetu.
Alipoulizwa Diamond kuhusiana na suala hilo hakutaka kufafanua mengi zaidi ya kukiri kwamba mrembo huyo alikuja Dar na kuondoka naye.
Zarinah Hassan ‘Zari’ akiwa na 'Diamond Platnumz'.
“Wewe jua alikuja, nikaondoka naye hayo mambo mengine siwezi kuyazungumzia,” alisema Diamond.
Amani lilipomtafuta mama Diamond kwa njia ya simu hakupatikana lakini mtu wa karibu alisema kwa sasa hatumii simu kwa sababu ambazo hazikutajwa

CHEKI PICHA KIBAO HAPA NA MAPOZI.........MASTAA WAREMBO WA BONGO: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU

0


Gladness Mallya na Mayasa Mariwata/Risasi Mchanganyiko
WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa.
Staa wa filamu wa filamuBongo, Anti Lulu akipozi.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si jambo unaloweza kupanga, kwa vile mwenye uwezo wa kufanya hayo yote ni Mungu, kama ilivyo katika kuamua kuzaa au la.
Coletha Raymond ‘Koletha’, alisema katika maisha ya Kitanzania, wanaume ndiyo wenye uwezo wa kuamua. wataoa lini na ikawa kwa sababu wao ndiyo wanaotongoza, lakini mwanamke hawezi kusema.
“Kuolewa natamani sana lakini bado sijapata mwanaume sahihi, naendelea kumuomba Mungu anipe, nawaomba na wengine wanisaidie kuomba, kuhusu kuzaa niko tayari hata kama sijaolewa,” alisema.
Staa wa filamu wa filamuBongo, Baby Madaha.
Kauli kama hiyo ilitolewa pia na msanii wa filamu Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ aliyesema yupo tayari kuzaa hata kabla ya ndoa kwa sababu kuitwa mama kwake ni muhimu kuliko ndoa.
Lakini katika hatua ya kushangaza, Baby Madaha ambaye pia anafanya muziki, alisema hana anachotamani kati ya ndoa wala mtoto, isipokuwa kitu muhimu kwake kwa sasa ni pesa.
Staa wa filamu wa filamuBongo,Salma Jabu ‘Nisha’.
“Katika maisha yangu sina mpango wa kuolewa  wala kuzaa, ninachotafuta zaidi ni pesa na umaarufu, dunia nzima initambue, sijali cha umri wala nini, hayo ndiyo maamuzi ya maisha yangu.”
“Mimi siwezi kujua nitaolewa lini kwa sababu Mungu ndiye anajua ubavu wangu uko wapi na anakuja kwangu lini, pia siwezi kuwa na uhakika kama niliyenaye  ndiyo ubavu wangu.
“Naweza nikasema naolewa mwaka huu kumbe nikaja kuolewa  miaka miwili mbele. Suala la kuzaa kiukweli hakuna kitu natamani sasa hivi kama mtoto, hili sizungumzii sana, litakuwa ni sapraizi kwa mashabiki zangu,” alisema Tamrina Poshi.
Staa wa filamu wa filamuBongo, Coletha Raymond ‘Koletha’ akipozi.
Kwa upande wake, Salma Jabu ‘Nisha’ alisema ndoa ni heshima kwa mwanamke, lakini anachoamini jambo jema hupangwa na Mungu.
“Mungu anatengeneza tutakayerandana na kupendana kiukweli na kuja kudumu kama wazee   wetu walivyokuwa, akimleta hata leo nitaolewa,” alisema.

NISHIDAAAAAAAAAAAAAAAA......................CHEKI HIZI PICHA ZA MREMO HUYU>>>KISHA NIAMBIE KAMA UZURI WA MWANAMKE TABIA AU SHAPE YAKEEE

0



PICHA ZOTE ZIKO HAPA,,,,,,,......SOMA HAPA ALICHO SEMA DIAMOND...........DIAMOND ATHIBITISHA KUWA ZARI ANA UJAUZITO WAKE!

0

zarinahUhusiano wa Diamond Platnumz na Zarinah Tlale a.k.a Zari The Boss Lady sasa unaelekea kwenye level nyingine. Diamond ameweka wazi kuwa anatarajia kuwa baba.



Kupitia Instagram Diamond alipost picha ya ‘ultra sound’ inayoonesha kiumbe kilichoko tumboni mwa mama na kuandika: “I can not wait to have you on my hand”. Hata hivyo aliifuta post hiyo baada ya dakika mbili.
IMG-20150114-WA0000
Kwa picha na maneno hayo, Platnumz amethibitisha kuwa yeye na Zari wanatarajia kupata mtoto.
Zari tayari ni mama wa watoto watatu wa kiume aliowapata kwenye uhusiano wake uliopita.

.....INGIA HAPA........PICHA ZOTE ZIKO HAPA..........AUNTY EZEKIEL NA MOSE IYOBO WADHIHIRISHA PENZI LAO

0





Staa wa Bongo Movie,Aunty Ezekiel amedhihirisha penzi lake na dansa wa msanii Diamond Platinumz,Mose Iyobo baada ya picha yao wakiwa wamekaa kimahaba iliyosambaa mtandaoni.

Mara kadhaa msanii huyo wa Bongo Movie amekuwa akikana kuwa hana uhusiano na dansa huyo na kutoweka wazi mhusika wa ujauzito wake hivyo picha hiyo imeonyesha kuwa Mose Iyobo kuwa ni mhusika wa ujauzito huo.

KOCHA WA MAN CITY AKIRI KUWA SUNCHEZ ATAKUWA MCHEZAJI BORA EPL....Manuel Pellegrini backs Arsenal forward to be ‘The best player in the Premier League’

0


Manuel Pellegrini has caused a stir by revealing who he thinks is the best player in the Premier League right now… and it’s not Sergio Aguero.
The Manchester City boss has previously labelled his star striker as one of the top five players in the world, but sensationally he’s claimed Arsenal man Alexis Sanchez is the Premier League’s best.
Aguero has recently returned from over a month out with knee ligament injury, and in that time Sanchez has impressed Pellegrini enough to earn such high praise.
The former Barcelona forward has been the stand-out man for Arsenal this season, looking like a bargain buy even at the reported £32million the Gunners paid for his services.
On Sunday he was the inspiration behind his sides 3-0 win against Stoke, hitting his 11th and 12th Premier League goals of the season having already provided the assist for Laurent Koscielny’s early opener.
Source: Givemesport.com

HABARI NJEMA KWA MANCHESTER UNITER YA KARIBIA KUMALIZANA NA MESSI......Manchester City links with Lionel Messi are normal – Manuel Pellegrini

0


Manchester City manager Manuel Pellegrini has brushed off reports linking his side with a move for Barcelona superstar Lionel Messi as “normal”.
The Argentine forward’s future at Camp Nou is in question after a falling-out with coach Luis Enrique and City’s financial muscle makes them one of the few clubs who could potentially afford to sign him were he to leave.
Pellegrini, though, simply takes the suggestion of a Messi bid as fanciful talk that comes with being at a club the size of the reigning Premier League champions.
“It is normal to be linked to the best players in the market,” he told AS. “Sometimes those rumours emerge from personal interests and not because of the club.
“It is important to work at a club that has the ability to buy good players. Here, 20 clubs have the possibility. In Spain I think that there are three, maybe four with Valencia. That’s the big difference.”
Messi missed out on the Ballon d’Or on Monday, finishing second in the voting behind Cristiano Ronaldo.
Source: Goal.com

CHEKI PICHA ZAO HAPA NA SOMA HII......Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari

0


Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari
  • Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari 1
 
Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.

USHAHIDI WA UJAUZITO HUO
Usiku wa jana, Dimaond aliweka ujumbe unaosema I can not wait to have you on my hands #Chibu_Junior” akimaanisha “siwezi kusubiri kukuweka kwenye mikono yangu #Chibu_Junior” huku akiambatanisha na picha ya Ultra sound aliyoupiga na Zari (Kama hujui Ultra sound ni nini Tafadhali google) na baadaye Zari naye akapost picha yake akichukuliwa vipimo hivyo bila kuandika kitu chochote na kuwaacha wananchi wakimwagika na comment za kutosha kuhusu picha hizo ambazo fika zinaonesha wawil hao wanaweza kujaliwa mtoto mwaka huu
Je unafikiri hii inaweza kuwa “Project nyingine” au ni kweli wawili hawa wanatarajiwa kuwa wazazi?? Tupe maoni yako
 

Popular Posts

ONLINE VIEWS

Jicholamwewe.com.